|
21/04
2010 Mpango wa Taifa wa Matumizi ya Ardhi 2009 hadi 2029Mamlaka ya Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi
- Ibara ya 6 ya Sheria ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi inaunda Tume na Ibara ya 7 inaelekeza majukumu ya Tume.- Ibara ya 18 inaunda Mamlaka za upangaji nazo ni : - Halmashauri ya Kijiji; - Halmashauri ya Wilaya; - Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi; - Pia Waziri anaweza kuunda mamlaka kwa eneo la mpango au mamlaka ya pamoja kwa eneo la mpango na kutangaza kwenye gazeti la serikali. Menu
![]() Related Topics
![]() Whats NewRais Jakaya M. Kikwete amemteua Ndg. Abubakar Rajab kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa - NLUPCWizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi inapenda kuutaarifu umma kuwa Mh. Rais Jakaya M. Kikwete… |
More on Reports, Publications, Policies, Regulations, Surveys and Mappings